Monday, December 15, 2014

THIERY HENRY ATUNDIKA DALUGA RASMI



Sasa ametangaza rasmi kustaafu soka… Na huku ndiko anakoelekea kwa sasa…

Theirry-Henry-in-action-o-007Kwenye ulimwengu wa soka leo kuna story kubwa ambayo imeenea Duniani kutokana na staa mkubwa wa soka na mkongwe kutangaza kustaafu soka na kujiunga na shughuli nyingine.
Kwa wale wapenzi wa soka Thierry Henry sio jina geni kwao, amekuwa nyota ambaye ameng’aa kwenye mchezo huo kwa muda mrefu sana akichezea vilabu mbalimbali ikiwemo Arsenal na Barcelona.
download
Jamaa ametangaza rasmi kustaafu soka dakika chache zilizopita na kusema kuwa kuanzia mwakani ataanza kujishughulisha kama Balozi wa Sky Sports huku akisema kuwa anajisikia furaha kuchezea vilabu vikubwa na pia anaamini anajiunga na kituo kikubwa cha Television na mattarajio yake ni kuwa mchambuzi bora wa michezo kwenye kituo hicho.
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia,kumekucha blog

No comments:

Post a Comment