Kuna taarifa ya ugonjwa wa ajabu uliowakumba watoto Nchini Uganda
Ugonjwa huo ni wa kutikisika kichwa na
haujafahamika sana Duniani kitu ambacho huenda kikaweka changamoto ya
kuupatia tiba na kinga ya ugonjwa huo.
Watoto wengi wanahofiwa kufariki zaidi
ambapo wazazi ambao wana watoto wanaougua ugonjwa huo wamesema kuwa hata
wakienda hospitali hawapati huduma yoyote ya kutibu maradhi hayo na
wameiomba Serikali kufanya uchunguzi kujua sababu ya ugonjwa huo na tiba
inayopaswa kutolewa.
Hapa kuna taarifa ambayo imeripotiwa na kituo cha WBS, unaweza kuisikiliza.
Nitaendelea kukupatia kila stori
inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia kumekucha blog .
No comments:
Post a Comment