Jamaa waliiba shilingi laki mbili na
elfu ishirini za Kenya kutoka kwenye duka la mtu ambapo mwenye duka
aliamua kwenda kwa mganga kufanya ‘mitego asilia’ iliyopelekea wawili
hao kujikuta wanashikwa na usingizi mzito mbele za watu kutokana na dawa
hizo.
Inasemekana kuwa hao ni wafanyakazi wake hivyo baada ya kushikwa na dawa waliangusha usingizi nje ya duka wanakofanyia kazi.
No comments:
Post a Comment