Thursday, December 4, 2014

Ukistaajabu ya Mussa atashangaa ya Firauni


Uko mbali na TV yako kwa sasa, kisome kilichowakuta jamaa hawa Kenya kutokana na tabia ya wizi

tricolor_traffic_light_by_d4rkst0rm-d38w5irKituko kutoka Kambani, Kenya kinahusu jamaa ambao walijikuta wakiingia kwenye kitanzi ambacho hawakukitegemea na kuadhirika mchana wa jua kali.
Jamaa waliiba shilingi laki mbili na elfu ishirini za Kenya kutoka kwenye duka la mtu ambapo mwenye duka aliamua kwenda kwa mganga kufanya ‘mitego asilia’ iliyopelekea wawili hao kujikuta wanashikwa na usingizi mzito mbele za watu kutokana na dawa hizo.
Inasemekana kuwa hao ni wafanyakazi wake hivyo baada ya kushikwa na dawa waliangusha usingizi nje ya duka wanakofanyia kazi.

No comments:

Post a Comment