Yule mama aliyejiuzulu kwa kukosoa mavazi ya watoto wa Obama kumbe bado anafuatiliwa?
Mama huyo aliwaponda Sasha na Malia
kuwa wamekosa ustaarabu kutokana na kuvalia sketi fupi katika hafla ya
chakula katika Ikulu ya White House, pia alisema kuwa watoto hao ni kama
hawakuwa na nyuso za furaha kuwa katika hafla hiyo, ambapo baada ya
kushambuliwa na watu kwenye ukurasa wake wa Facebook aliomba radhi, na
baadaye akajiuzulu.
Leo ni siku ya nne tangu amejiuzulu
lakini story ni kwamba bado ameendelea kufuatiliwa na vyombo habari,
huku wengine wakipiga kambi nyumbani kwa wazazi wake kuchunguza vitu
mbalimbali ikiwemo rekodi ya maisha yake ya utotoni ambapo watu kwenye
mitandao ya kijamii wamekosoa kwa kusema hiyo haikuwa ‘big deal’ ya
kufanya vyombo vya habari kumfuatilia kiasi hicho.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia, kumekucha blog
No comments:
Post a Comment