Kuna picha za mwonekano mpya wa Bieber, unajua kazifanya nini nywele zake?
Hii ni kawaida kwa mastaa, unakumbuka Wayne Rooney kuotesha nywele kwenye upara wake? Leo ni Justin Bieber…
Bieber ameonekana akiwa
na mwonekano mpya wa nywele zake lakini haijajulikana sababu ya
kubadili nywele hizo, ingawa inasemekana ameshauriwa kufanya hivyo na
rafiki yake ili awe na mwonekano mpya.
Rafiki yake wa karibu amesema Bieber
anafurahia mwonekano wa kuweka Blond japo fans wake walionekana
kucomment wakimponda kwa kutopendezwa na mwonekano huo.
Hakika utapata kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia, KUMEKUCHA BLOG
No comments:
Post a Comment