Taarifa ikufikie kwamba lile kundi la Kaole linarudi tena kwenye Tv yako, wanakuja na jina jingine
Sasa good news ya leo ni kwamba Kaole wameamua kurudi kazini kama kikundi lakini time hii watatumia jina jingine ambalo ni Kaone
‘…Tumeamua
kujikusanya 12 na tumeamua kuanza na tamthilia yetu ya kwanza tuliyoipa
jina la kipusa ambayo itakuwa ikuhusisha watoto wadogo lakini zaidi
itakua ikihusisha mambo ya kisiasa…‘– Thea.
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia
mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia kumekucha blog
No comments:
Post a Comment