Meneja Shirika la Umeme
Tanzania Tanesco Wilaya ya Korogwe, Bakary Suleiman akiwaonyesha waandishi wa
habari moja katika ya nguzo tatu zilizokatwa na wezi wa nyaya za umeme
waliotumia msumeno aina ya Chensoo kijiji cha Magoma Wilayani humo juzi usiku.
Meneja wa Shirika la Umeme
Tanzania Tanesco, Bakary Suleiman kushoto pamoja na wakazi wa kijiji cha Magoma
Wilayani Korogwe Mkoani Tanga wakiangalia hujuma zilizofanywa na wezi kwa
kukata nguzo tatu za umeme saa 8 usiku kutumia msumeno aina ya Chensoo kisha
kuiba nyaya na kutokomea.
Afisa Uhusiano Shirika la Umeme Tanzania Tanesco Mkoa wa Tanga,
Monica Mabada, kulia pamoja na Afisa Usalama upelelezi Wilaya ya Korogwe
Markyagadi Makumba wakiangalia moja ya nguzo tatu zilizokatwa na wezi wa nyaya
za umeme kijiji cha Magoma Wilayani humo tukio lililofanywa saa 8 usiku juzi.




No comments:
Post a Comment