Kama unalifatilia soka la bongo basi hii mpya kuhusu usajili uliofanywa na Yanga isikupite.
Tambwe alikuwa mfungaji bora wa ligi
msimu uliopita ambapo alifunga mabao 19 kwenye ligi lakini alishindwa
kuwika msimu huu baada ya kutopewa nafasi ya kutosha na kocha Patrick Phiri.
Simba imemuacha Tambwe baada ya kumsajili Danny Serunkuma toka Gor Mahia
ya Kenya ambapo sasa Yanga imekamilisha usajili huu saa chache kabla ya
dirisha dogo la usajili kufungwa kama ilivyopangwa na TFF.
No comments:
Post a Comment