Monday, December 15, 2014

WATEKAJI WAVAMIA MGAHAWA NA KUTEKA MAKUMI YA WATU,SYDNEY

Tukio la uvamizi Mgahawa uliopo katikati ya Jiji, hali bado tete…


Tukio la uvamizi Mgahawa uliopo katikati ya Jiji, hali bado tete…

Mmoja wa mateka waliofanikiwa kukimbia kutoka kwenye mgahawa huo.
Hali ni tete katika mgahawa wa Lindt uliopo katikati ya Jiji la Sydney, Australia baada ya kundi la watu ambao hawajatambulika kuvamia mgahawa huo na kuwashikilia mateka ambao idadi yao haijafahamika.
Watu watano walifanikiwa kutoka ndani ya mgahawa huo salama huku kukionekana kupepea bendera nyeusi katika moja ya madirisha la mgahawa huo ambapo Waziri Mkuu wa Australia, Tony Abbott  amesema kuna dalili za utekaji huo kuhusishwa masuala ya siasa.
Polisi wameuzunguka mgahawa huo ili kufanya jitihada za kuwaokoa mateka waliokamatwa ndani pamoja na kuwakamata watekaji.
DSC07084
DSC07085
DSC07088
DSC07091

afandez
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia, kumekucha blog

No comments:

Post a Comment