Sunday, April 12, 2015

KIWEWE, BASI LATEKETEA KWA MOTO BAADA KUGONGANA NA FUSO

  BASI LA NGANGA LATEKETEA KWA MOTO BAADA YA KUGONGANA NA FUSO


Basi la Nganga linalofanya safari kati ya  Iringa  na  Kilombero limegongana uso kwa uso na fuso kisha magari hayo kuteketea kwa moto katika mlima wa  Ruaha Mbuyuni kuelekea  Morogoro.
Watu kadhaa wamepoteza maisha akiwemo dereva wa fuso hilo na wengine wamekufa kwa kuteketea na moto.
Ajali hyo imetokea leo


No comments:

Post a Comment