Mapya yaibuka shambulio Chuo Kikuu Garissa Kenya..
Hilo limeendelea lakini bado kuna ishu
onawaacha watu njia panda, zaidi ya wanafunzi 166 hawajulikani walipo,
familia zao bado zimeendelea kulalamika kutokana na baadhi ya ndugu zao
kutoonekana.
Uamuzi mwingine mgumu uliotangazwa na
Kenya ni kulitaka Shirika la Wakimbizi UNHCR ndani ya miezi mitatu
kufunga kambi ya wakimbizi iliyoko mashariki mwa nchini hiyo pamoja na
kuwarudisha kwao wakimbizi ambao ni raia wa Somalia zaidi ya laki nne.
No comments:
Post a Comment