Sunday, April 12, 2015

SOKONI SONI, LUSHOTO( PICHAZ)

 Wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga mji mdogo wa Soni Wilayani Lushoto Mkoani Tanga wakisubiri wateja. Wafanyabiashara hao kwa muda mrefu wamekuwa wakiiomba halmashauri ya Wilaya kuwajengea vizimba kuepukana na kero nyakati za  mvua na jua.





No comments:

Post a Comment