Saturday, April 11, 2015

SOKONI TANGAMANO

 Wakazi wa Tanga wakinunua bidhaa katika gulio la Tangamano leo, soko hilo ambalo ni la wiki mara tatu limekuwa likitumiliwa na wajasiriamali wa mjini na vijijini kuuza bidhaa mbalimbali zikiwemo kazi za mikono na kuuzwa kwa jumla na rejareja.





No comments:

Post a Comment