Msimamo wa Ligi Kuu TZ Bara, unajua timu yako iko nafasi ya ngapi mtu wangu? Cheki kinachoendelea hapa..
Ligi Kuu Tanzania Bara bado ni story ya
uzito wa juu kwenye kurasa za MICHEZO TZ.. moja ya story zilizo kwenye
kurasa za michezo leo ni ile inayosomeka hivi; “Pluijm: Nimebakiza mechi tatu kutangaza Ubingwa“– Hayo kayasema Kocha wa Yanga, unadhani yatatimia ??
Unaweza kucheki hapa mtu wangu, timu
yako iko nafasi ya ngapi?
Hutopitwa na habari yoyote inayonifikia na niko tayari kukutumia muda wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment