Mtoto mkazi wa kijiji cha Baga kata ya Mtae Wilayani Lushoto Mkoani Tanga, Juma Shetumba, akiwa amebeba kiroba cha Viazi kutoka shamba, wakazi wengi Wilayani humo wamekuwa wakitegemea kilimo cha Viazi, Nyanya na Kabichi kama kilimo chao kikuu cha kuwaingizia mapato.
Tuesday, April 14, 2015
TUNATOKA SHAMBANI
Mkazi wa kijiji cha Baga kata ya Mtae Wilayani Lushoto
Mkoani Tanga, Ashura Abrahman akitoka shamba, wakulima wa Lushoto wamekuwa
wakitegemea kilimo cha Viazi, Nyanya na Kabichi
kama kilimo chao kikuu cha kuwaingizia
kipato .
Mkazi wa kijiji cha Baga kata ya Mtae Wilayani Lushoto
Mkoani Tanga, Salma Ally akitoka shamba , wakulima wa Lushoto wamekuwa
wakitegemea kilimo cha Viazi, Nyanya na Kabichi kama kilimo chao kikuu cha
kuwaingizia kipato.
Mtoto mkazi wa kijiji cha Baga kata ya Mtae Wilayani Lushoto Mkoani Tanga, Juma Shetumba, akiwa amebeba kiroba cha Viazi kutoka shamba, wakazi wengi Wilayani humo wamekuwa wakitegemea kilimo cha Viazi, Nyanya na Kabichi kama kilimo chao kikuu cha kuwaingizia mapato.
Mtoto mkazi wa kijiji cha Baga kata ya Mtae Wilayani Lushoto Mkoani Tanga, Juma Shetumba, akiwa amebeba kiroba cha Viazi kutoka shamba, wakazi wengi Wilayani humo wamekuwa wakitegemea kilimo cha Viazi, Nyanya na Kabichi kama kilimo chao kikuu cha kuwaingizia mapato.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






No comments:
Post a Comment