Kuhusu zilizosambaa juu ya kifo cha Hussein Machozi, makubwa mengine yametokea nyumbani kwao Singida.
‘Nilijiandaa
hapa nimekwenda mazoezini kucheza mpira, niliacha simu yangu kwenye
charge na niliporudi baada ya mazoezi nakuta missedcalls nyingi sana,
msg na simu za mama yangu pamoja na dada, wakati najiandaa kuanza kupiga
simu ghafla naanza kupata simu za watu mbalimbali kwamba nimepata ajali
na kufariki, mimi nikawaambia sio kweli mimi ni mzima na nipo Dar es salaam‘
Kumbe baada ya taarifa za kifo kusambaa na
kuwafikia Mama yake mzazi pamoja na dada yake ambao walipiga simu yake
na haikupokelewa kwa muda mrefu, wakaamini kweli kilichotokea ni kifo…. mama akazimia hapohapo, dada akaanguka na kuzimia vilevile.
No comments:
Post a Comment