Monday, April 6, 2015

VIMBWANGA VYA WALIMWENGU

Pale wivu wa mapenzi unaposababisha ugomvi Club

preview2Jamaa mmoja alikuwa na tabia ya kwenda club na mke wake lakini wamekuwa wakigombana mara kwa mara kutokana na wivu kila mmoja anapomuona mwenzake akicheza na mtu mwingine.
Siku moja mwanamke alienda club akiwa na marafiki zake baada ya mume wake kumwambia yuko mbali, akiwa huko akashangaa kutumiwa message na mtu asiyemjua na kuanza kumtongoza, alipotoka nje akamuona mume wake akiwa na kijana mmoja alipofuatilia akagundua mume wake alikuwa anamtuma jamaa huyo kama kumtego kuona kama atamkubali jambo lililozua ugomvi mkubwa.
Hutopitwa na habari yoyote inayonifikia na nitakutumia kila inaponifikia kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment