Wednesday, April 15, 2015

MTANANGE WA AZZAM NA MGAMBO JKT MKWAKWANI

 Mchezaji wa timu ya  Azzam, Gadiel Mbaga (2) akiruka juu kuwania mpira na wachezaji wa Mgambo JKT ya Tanga jana wakati wa ligi kuu Tanzania Bara (Vodacom) uwanja wa Mkwakwani na kutoka uwanjani bila kufungana.



 Mchezaji wa timu ya Mgambo JKT, Salim Gilla, akiwatoka wacheaji wa Azzam jana uwanja wa Mkwakwani wakati wa mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (Vodacom) na timu hilo kutofungana.
 Washabiki wa timu ya Azzam wakiishangilia timu yao jana uwanja wa Mkwakwani wakati wa ligi kuu Tanzania Bara na timu hizo kutoka uwanjani bila kufungana.
 Mchezaji wa timu ya Azzam, Frank Dumayo akijaribu kupiga mpira lango la Mgambo jana wakati wa ligi kuu Tanzania Bra (Vodacom) uwanja wa Mkwakwani na tiomu hizo kutoka uwanjani bila kifungana.

Washabiki  wa timu ya Mgambo JKT wakifuatilia mchezo na timu ya Azzam uwanja wa Mkwakwani jana na timu hizo kutoka suluhu.

No comments:

Post a Comment