Monday, November 9, 2015

MAAAJABU, MAGARI 1 YAMEZWA NA ARDHI BAADA YA KUTOKEA MPASUKO

Vipimo vitafanywa kubaini kwanini aridhi imepasuka na kumeza magari 12 huko Mississippi nchini Marekani katika eneo la maegesho ya magari kwenye hoteli moja.
Shimo hilo la kupasuka ardhi lenye urefu wa mita 120 na upana wa mita 11 lilifunguka jumamosi huko Meridian, karibu na jimbo la Alabama.
Eneo hilo lilipata mvua kubwa kwa wiki mbili zilizopita, gazeti la Meridian Star limeandika. Hakuna mtu aliyejeruhiwa katika tukio hilo.
Magari yakiwa yametumbukia aridhini baada ya ardhi kupasuka
Gari likiwa limenusurika kidogo kutumbukia baada ya ardhi kupasuka
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment