Sunday, November 30, 2014

Amka na Magazeti na Kumekucha blog



Leo ni Desemba 1, Umesoma makubwa yaliyoandikwa na Magazeti ya Tanzania? Nimekuwekea hapa

DSC06342
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headlines mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo Desemba 01.
DSC06340
DSC06341
DSC06342
DSC06343
DSC06344
DSC06345

DSC06347
DSC06348
DSC06349
DSC06350
DSC06352
DSC06353
DSC06355
DSC06356
DSC06357
DSC06358
DSC06359
DSC06360
DSC06361
DSC06362

DSC06339
DSC06340
DSC06341
DSC06342
DSC06343
DSC06344
DSC06345
DSC06346
DSC06347
DSC06348
DSC06349
DSC06351
DSC06352
DSC06354
DSC06355
DSC06356
DSC06357
DSC06358
DSC06359
DSC06360

Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote na Kumekucha blog

Tunawapiga picha

 Mapaparazi na ndugu na jamaa wakipiga picha kwa kutumia camera za simu zao wakati wa mahafali ya 14 shule ya awali Hill View ya Korogwe Tanga juzi.


 Hakuna kulala kila mtu yuko bize
 Kila mtu anaonekana kuonyesha umahiri wake kwa simu aliyonayo

Wenye bsimu za vitochi wameula na chuwa

Pacha wasio na Bathday



Nakukutanisha na mapacha wasio na birthday moja.

twins
Mapacha wenyewe ndio hawa ambapo wote ni wa kike.
Kwa kawaida mapacha wanazaliwa siku moja wakiwa wametofautiana muda mfupi sana na mara nyingi huwa inakuwa ni sekunde au dakika toka wakati anapozaliwa mmoja mpaka wakati anakozaliwa mwingine na hii ni kwa sababu kibaiolojia haiwezekani kwa watoto wawili kutoka tumboni kwa wakati mmoja.
Lakini Uingereza imeweka rekodi hii ya kuwa na watoto mapacha ambao siku zao za kuzaliwa ziko kwenye tarehe mbili tofauti yaani kama mmoja amezaliwa tarehe 1 mwingine amezaliwa tarehe 2.
Huko Bolton watoto Scarlett na Robbyn wameweka rekodi hii baada ya mama yao kujifungua watoto wawili kwenye tarehe mbili tofauti, ilianza kama utani wakati ambapo mama huyo aliingia kwenye maumivu ya uchungu wa kuzaa saa chache kabla ya kuingia kwa siku mpya ambayo kwa mahesabu ya kidunia huanza saa sita usiku.
Hawa ni mapacha ambao mwaka 2013 walivunja rekodi ya kuzaliwa katika nchi mbili tofauti, mmoja alizaliwa England na mwingine Scotland ambapo wa pili alizaliwa dakika 100 baada ya wa kwanza kuzaliwa.
Hawa ni mapacha ambao mwaka 2013 walivunja rekodi ya kuzaliwa katika nchi mbili tofauti, mmoja alizaliwa England na mwingine Scotland ambapo wa pili alizaliwa dakika 100 baada ya wa kwanza kuzaliwa.
Kabla ya kufika kwa saa sita kamili usiku majira kama ya 5 na dakika 45 usiku mama huyo alijifungua mtoto mmoja huku akingojea kujifungua mwingine kwani alifahamu fika amebeba mapacha.
Mtoto mwingine alikuja kuzaliwa dakika 18 baada ya saa sita usiku kupita na hivyo kufanya ionekane kuwa watoto mapacha Robyn na Scarlett wamezaliwa kwenye tarehe za siku mbili tofauti mmoja akiwa amezaliwa saa tano usiku kabla ya siku mpya kuanza na mwingine akiwa amezaliwa baada ya saa sita usiku saa chache baada ya siku mpya kuanza.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote na Kumekucha blog

Man City haikamatiki





Manchester City yawaadhibu ‘Watakatifu’.

citizens
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Manchester City wamehsinda mchezo wao wa ligi kuu ya England baada ya kuwafunga Southampton au The Saints Aka Watakatifu kwa matokeo ya 3-0 .
Manchester ambayo ililazimika kumaliza mchezo huo ikiwa na watu nane uwanjani baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu kwa beki wake Mfaransa Eliaquim Mangala na kuumia kwa nahodha wake Vincent Kompany walipata bao la kwanza mapema kwenye kipindi cha pili mfungaji akiwa Yaya Toure .
Kiungo Muivory Coast Yaya Toure akifunga bao la kwanza kwa timu yake .
Kiungo Muivory Coast Yaya Toure akifunga bao la kwanza kwa timu yake .
City walifunga bao la pili kupitia kwa mkongwe Frank Lampard kabla beki Gael Clichy hajamalizia bao la tatu .
Ushindi huo unawafanya City kusogea hadi nafasi ya pili toka nafasi ya tatu walikokuwa ambapo wamewaondoa Southampton  kwenye nafasi hiyo wakiwa wamejikusanyia pointi 27 baada ya michezo 13.
Frank Lampard alifunga bao la pili kwa Manchester City .
Frank Lampard alifunga bao la pili kwa Manchester City .

Bao la nadra la beki Gael Clichy lilitosha kuwahakikishia City Pointi zote 3.
Bao la nadra la beki Gael Clichy lilitosha kuwahakikishia City Pointi zote 3.