Wednesday, November 11, 2015

TANAPA YAZINDUA MFUMO WA UTENDAJI KAZI NA KWENDA JESHI USU


1
Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi za Taifa Bw. Allan Kijazi akikabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya uongozi kutoka mfumo wa kiraia kwenda jeshi-usu kwa Mhifadhi Mussa Mandia katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi.
……………………………………………………..
Shirika la Hifadhi za Taifa limeanza rasmi kutumia mfumo wa jeshi usu kutoka ule wa kiraia katika utendaji kazi wake ikiwa ni hatua mojawapo ya kuongeza ufanisi katika shughuli za uhifadhi.
Jumla ya wahifadhi 40 walihitimu mafunzo ya Awamu ya kwanza ya kubadili mfumo wa utendaji kazi kutoka ule wa kiraia kwenda wa jeshi usu kwa kwa viongozi maafisa wa ngazi ya kati “Transformation Leadership Course for Middle Cadre Wardens” yaliyofanyika katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi hivi karibuni.
Mfumo wa utendaji kazi kwa kijeshi-usu utalisadia shirika kuimarisha nidhamu ili kuboresha utendaji kazi hasa katika nyakati hizi ambapo changamoto kuu ya ujangili unaotumia silaha za aina mbalimbali za moto hasa za kivita inazidi kushika kasi.
2
Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi za Taifa Bw. Allan Kijazi akikabidhi zawadi ya kuhitimu mafunzo ya uongozi kutoka mfumo wa kiraia kwenda jeshi-usu kwa Mhifadhi Prisca Lyimo katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi.
3
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Wizara ya Maliasili na Utalii Bw. Faustine Masalu akiongea wakati wa hafla ya ufungaji wa mafuzo ya kutoka mfumo wa utendaji kazi wa kiraia kuwa wa jeshi-usu.
4
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Wizara ya Maliasili na Utalii Bw. Faustine Masalu akiongea wakati wa hafla ya ufungaji wa mafuzo ya kutoka mfumo wa utendaji kazi wa kiraia kuwa wa jeshi-usu.
5
Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi za Taifa Bw. Allan Kijazi akiongea wakati wa hafla ya ufungaji wa mafunzo kubadili mfumo wa utendaji kazi wa kiraia kuwa wa jeshi-usu.
6
Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi za Taifa Bw. Allan Kijazi akifungua mafunzo ya awamu ya pili mafunzo kubadili mfumo wa utendaji kazi wa kiraia kuwa wa jeshi-usu.
7
Wahifadhi waliohitimu mafunzo kubadili mfumo wa utendaji kazi wa kiraia kuwa wa jeshi-usu wakiwa katika picha ya pamoja.
8
Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa TANAPA Bi. Witness Shoo akiwa na Wahifadhi wa kike waliohitimu mafunzo ya kubadili mfumo wa utendaji kazi wa kiraia kuwa wa jeshi-usu.
9
Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Bw. Allan Kijazi akikagua gwaride maalum la wahitimu huku akiongozwa na Kamanda wa Gwaride hilo Mhifadhi Kelvin Nkulila.
10
Gwaride la wahitimu wa mafunzo kubadili mfumo wa utendaji kazi wa kiraia kuwa wa jeshi-usu likitoa heshima mbele ya mgeni rasmi.
11
Gwaride la wahitimu wa mafunzo kubadili mfumo wa utendaji kazi wa kiraia kuwa wa jeshi-usu likitoa heshima mbele ya mgeni rasmi.
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment