Friday, November 13, 2015

USAJILI WA WABUNGE DODOMA

Maafisa wa Bunge wakipokea nyaraka toka kwa wabunge wateule katika zoezi lililoanza  Mjini Dodoma
Wabunge wateule wakipiga picha kwa ajili ya vitambulisho vitakavyotumika kwa ajili ya matumizi ya Bunge  Mjini Dodoma
Mbunge wa Jimbo la Mwanga Mkoani Kilimanjaro Mh. Jumanne Maghembe akikabidhi nyaraka zake wakati wa zoezi la usajili  Mjini Dodoma.
Mbunge wa Jimbo la Sengerema Willium Ngeleja akisajili kwa Afisa wa bunge
Maafisa wa benki wakiwapa maelezo wabunge wakati wa zoezi la usajili linaloendelea Mjini Dodoma
Maafisa wa Bunge wakimkabidhi nyaraka Moja ya Mbunge wakati wa Zoezi la Usajili  Mjini Dodoma

No comments:

Post a Comment