Wednesday, September 28, 2016

WIKI YA BANDARI DUNIANI YAFANYIKA TANGA





 Muongoza matishari Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanga (TPA), Mkanga Mbwana, akitoa maelekezo kwa mwakilishi wa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Tumpe Mwaijande ,  vifaa vya kuokolea baharini  wakati wa ufunguzi wa wiki ya maadhimisho ya Bahari Duniani uwanja wa Tangamano Tanga jana.




  Mwakilishi wa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Tumpe Mwaijande akipata maelekezo ya vifaa vya kuokolea baharini wakati wa majanga ikiwemo mitungi ya gesi na viatu vya kuogelea kutoka kwa Athunman Mkumba kutoka Idara ya Zimamoto na Usalama Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanga (TPA)  wakati wa maadhimisho ya wiki ya Bahari yaliyofunguliwa uwanja wa Tangamano Tanga jana.


No comments:

Post a Comment