Mwanamke avunja rekodi ya ndevu ya Guinness World Record

Mwanamitindo mwenye
ndevu za urefu wa inchi sita ametambuliwa na Guinness World Record kuwa
mwanamke wa umri mdogo zaidi duniani kuwa ndevu zilizokomaa kabisa.Amesema ni heshima kubwa kwake kutambuliwa.
Ameeleza ndevu hizo ndefu kama sehemu ya juhudi zake za kukabiliana na watu wengi waliomkejeli kutokana na muonekano wake.
Wengine waliotambuliwa kwenye rekodi za karibuni zaidi ni paka mrefu zaidi anayefugwa kama mnyama kipenzi pamoja na Ilama anayeruka juu zaidi.
Machi 2016 Harnaam Kaur alikuwa mwanamke wa kwanza kushiriki maonyesho ya mitindo ya London Fashion Week akiwa na ndevu.
No comments:
Post a Comment