Uefa: Barcelona yaiua Manchester City ya kocha wake wa zamani

Michuano ya klabu
bingwa ulaya imeendelea kwa michezo nane kupigwa ambapo Arsenal
waliiadhibu Ludogorets Razgrad ya Bulgaria 6-0, wakati Mesut Ozil
akipata hat trick.Makosa ya wazi ya mlinzi wa Celtic Kolo Toure yakaipa Borussia Monchengladbach ushindi wa mabao 2-0 wakiwa ugenini, magoli yakifungwa na Lars Stindl pamoja na Andre Hahn.
Matokeo ya michezo mingine
Bayern Munich 4-1 PSV EindhovenParis Saint-Germain 3-0 Basel
Dynamo Kiev 0-2 Benfica
Napoli 2-3 Besiktas
FC Rostov 0-1 Atlético Madrid
No comments:
Post a Comment