Monday, October 31, 2016

MAJINA YA MANAJESHI WALIUWAWA WAKATI WA VITA YA KWANZA YA DUNIA TANGA



Wakazi wa Usagara Tanga, Joseph Kimani, Martin Kiarie na Ali Hamis  wakiangalia majina ya askari wa Uingereza na India waliouwawa  Tanga wakati wa vita ya kwanza ya Dunia mwaka 1914, jumla ya askari 270 waliuwawa na majina yao kuwekwa katika kituo kilicho katika uangalizi cha Commonwealth War Graves Cammission (CWGC)




  Mkazi Usagara Tanga, Joseph Kimani, akiangalia majina ya askari wa Uingereza na India waliouwawa wakati wa vita ya kwanza ya Dunia ambapo jumla ya askari 270 waliuwawa Tanga wakati wa vita hivyo vilivyopiganwa mwaka 1914.Majina hayo yamehifadhiwa na Commonwealth War Graves Cammission (CWGC)

Mkazi wa Usagara Tanga,Devid Charles, akiangalia majina ya askari wa Uingereza na India waliouwawa wakati wa vita ya kwanza ya Dunia mwaka 1914 majina yaliyohifadhiwa na Commnwelth War Graves Commission (CWGC)

No comments:

Post a Comment