Monday, October 31, 2016

KAMA ULIKOSA PAMBANO LA ARFICAN SPORTS NA FRIENDS RANGERS , NIMEKUSOGEZEA PICHA HAPA



Kiungo wa African Sports ya Tanga, Idd Hassan, akiumiliki mpira katikati ya wachezaji wa Friends Rangers ya Magomeni Dar es Salaam wakati w amwezo ligi daraja la kwanza uliofanyika uwanja wa Mkwakwani juzi, Timu hizo zilitoka suluhu 0, 0.


  Refarii wa mchezo wa African Sports ya Tanga na Friends Rangers ya Magomeni Dar es Salaam, Mohammed Theophil, akimuonyesha mshambuliaji wa African Sports eneo ambalo alipaswa kuweka mpira na kupiga langoni mwa Friends Rangers ya Magomeni Dar es Salaam, wakati wa mchezo ligi daraja la kwanza uliofanyika Mkwakwani juzi, timu hizo zilitoka suhulu 0, 0.

Wachezaji wa Friends Rangers ya Magomeni Dar es Salaam, wakigombea mpira na wachezaji wa African Sports ya Tanga wakati wamchezo ligi daraja la kwanza uliofanyika uwanja wa Mkwakwani juzi. Timu hizo zilitoka suluhu , 0 ,0.

No comments:

Post a Comment