Friday, July 31, 2015

AZAM YATINGA NUSU FAINAL

Matokeo ya mechi za nusu fainali, Azam FC katinga fainali? jibu lipo hapa

Nusu fainali ya michuano ya kombe la Kagame imechezwa July 31 kwa timu nne kushuka dimbani, huku timu mbili pekee zitakazoshinda ndio zitakazo cheza mchezo wa fainali jumapi ya August 2 Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.
AZAM
Azam FC imekuwa timu ya pili kutinga fainali baada ya kuifunga klabu ya KCCA ya Uganda kwa goli 1-0 bao pekee lililofungwa na Farid Mussa dakika ya 76. Hivyo Azam FC itacheza mchezo wa fainali na klabu ya Gor Mahia ya Kenye ambayo imeifunga Al Khartoum ya Sudan kwa goli 3-0.
Gor-Mahia-team-photo-vs-Congo-UnitedUngana nami kila wakati kukupatia habari, matukio na michezo hapa hapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment