Wednesday, July 22, 2015

MASTAA 10 ZA PESA ZAO

Mastaa 10 wa Nigeria na magari yao >>>Wizkid, Davido, Kcee nao wamo…

KCEE COLLECTN
Nigeria ni moja ya nchi za Afrika ambazo zinaongoza kwa kuwa na mastaa wengi wanaofahamika zaidi kuanzia kwenye filamu na muziki.
Kitu kingine kilichowasaidia kufika mbali ni ukongwe wa mastaa hao kuingia kwenye industry ya burudani..lakini ukongwe huo una mafanikio pia nyuma yake.
Wengi wao wamekua wakimiliki majumba ya kifahari na hata kuwa na magari ya thamani kutokana na kazi yao wanayoifanya.
Hapa kuna magari 10 ya mastaa mbalimbali wa Nigeria wanayomiki:-
PSUARE CARS
Magari ya Psquare
WIZKID CAR
Gari la Wizkid aina ya BMW X6
IYANYA
Gari la Iyanya aina ya Range Rover Sport
DBANJ
Gari ya D’Banj aina ya Aston martin Vantage
ICE PRINCE
Gari la Ice Prince aina ya Lamborghini Gallardo LP570 Superleggera
KCEE COLLECTN
Magari ya Kcee G-Wagon, Range, Audi
DON
Gari la Don Jazzy aina ya Porsche Carrera Gts
YEMI
Gari la Yemi Alade aina ya Mercedes Benz G-Wagon
SAVAGE
Gari la Tiwa Savage aina ya Volkswagen EOS
JMARTINS
Gari la J Martins aina ya Rolls royce phantom, G-wagon 550
Kwa habari, matukio na michezo ni hapa hapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment