Wednesday, July 22, 2015

CCM VITI MAALUMU UDIWANI TANGA KUMEKUCHA

 Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania  (UWT) Wilaya ya Tanga wakifuatilia mkutano wa kuwapitisha wagombea nafasi za Udiwani Viti Maalumu kwa halmashari ya jiji la Tanga ambalo liko na viti 27 vya Udiwani.

  Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania  (UWT) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Ummy Mwalimu, akifungua mkutano wa uteuzi wa wagombea nafasi za Udiwani viti Maalumu kwa halmashauri ya jiji la Tanga ambayo iko na jumla ya viti 27 vya Udiwani.





Hapa baadhi ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wakichagua viongozi ambao watawapendekeza kuchaguliwa Udiwani viti maalumu uchaguzi mkuu mwaka huu

No comments:

Post a Comment