Wednesday, July 29, 2015

NCHI ZINAZONGOZA KWA UBAKAJI DUNIANI

Unatamani kujua nchi zinazoongoza kwa matukio ya ubakaji duniani? ninazo hapa

rape

Bado matukio ya ubakaji yameendelea kushika kasi katika nchi mbalimbali duniani licha ya kuwepo kwa sheria za kuwabana wahusika.
Hapa kuna hizi nchi 10 ambazo zinaongoza kwa matukio ya ubakaji duniani.
1. Afrika Kusini
jbeg
Afrika ya Kusini ndio nchi yenye idadi kubwa ya kesi za ubakaji duniani wanazofanyiwa watoto wa dogo..mwaka 2000 jumla ya kesi 67,000 ziliripotiwa.
2. Botswana
Botswana
Nchi ya Botswana inashika nafasi ya pili kwa matukio ya ubakaji
3. Lesoth
Lesotho
33% ya wanawake walibakwa wakiwa na umri wa miaka 18 huku kukiwa na 66% ya kesi za ubakaji kila mwaka
4. Swaziland
Mbabane Swaziland
Kasi ya ubakaji kwa wasichana chini ya miaka 18 imekuwa ikiongezeka..Ripoti ya UNICEF imesema msichana mmoja kati ya watatu hubakwa na kuchangia uwepo wa maambukizi ya VVU kwa wingi
5. Bermuda (Uingereza)
bemu
Nchi hii ipo mpakani mwa Uingereza..imekua na matukio mengi ya ubakaji hadi kupelekea wanawake kutengewa sehemu yao kuepuka vitendo hivyo
6. Sweeden
sweeden
Tangu mwaka 2005matukio ya ubakaji yamekua yakitokea na hayabadiliki licha ya kupitishwa sheria kali
7. Suriname (America ya Kusini)
Dutch Colonial buildings in Paramaribo, the capital of Suriname.
8. Costa Rica
Aerial view of San Jose city in Costa Rica.
9. Nicaragua (America ya Kaskazini)
MATAGALPA
Hiki ni moja ya visiwa masikini duniani lakini kinaongoza kwa matukio ya ubakaji kwa asilimia kubwa.. kinapatikana Amerika ya Kaskazini
10. Crenada (America ya Kaskazini)
St George's harbour Grenada
Kila anayepatikana na kosa la ubakaji katika nchi hii adhabu yake ni miaka 15 jela
Kwa habari, matukio na michezo ni hapa hapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment