Tuesday, July 21, 2015

MPINZANI WA MANNYWEATHER AMETAMBULIKA, HUYUO HAPA

Huyu ndio anayefatia Ulingoni kukutana na Floyd Mayweather, atamvurugia rekodi??

Andre
Andre Berto
Jina la Floyd Mayweather ni moja ya majina ya mastaa wachache waliochukua headlines nyingi zaidi mwaka 2015, mwaka uko katikati na bado anaendelea kuchukua nafasi hiyohiyo ya juu… mara nyingi kuna stori ya yeye kustaafu mchezo wa Ngumi, mpango wake uko palepale ila leo tutamjua mpinzani wake mwingine.
FMAY
Floyd Mayweather
Pambano lake linalofuatia litakuwepo September 12 2015, na tayari majibu yako on air kwamba atakayepambana nae ni Andre Berto, Bondia ambaye ana rekodi ya kushinda Mapambano 33 na amepigwa kwenye Mapambano matatu.
Floyd Mayweather ameshinda jumla ya mapambano 48, hajapigwa hata pambano moja… Berto ataweza kuianguisha record ya huyu jamaa?
may
Kwa habari, matukio na michezo ni hapa hapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment