Friday, July 24, 2015

KILICHOWAKUTA MAN CITY MBELE YA REAL MADRID

Kilicho wakuta Man City mbele ya Real Madrid

Generated by  IJG JPEG Library
International Champions Cup bado inaendelea Australia kwa timu tatu kushiriki ambazo ni Manchester City kutokea Uingereza, Real Madrid ya Hispania na AS Roma ya Italia. Michuano inayofanyika Australia imeandaliwa na kampuni ya Audi, ambapo July 21 Man City ilicheza na AS Roma ya italia katika uwanja  wa Melbourne Cricket Ground na Man City kushinda kwa jumla kwa penati 5-4 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 2-2.
1690752_heroa
July 24 ilikuwa ni mechi kati ya Man City na Real Madrid ya Hispania mchezo uliofanyika katika uwanja wa  Melbourne Cricket Ground, mchezo uliomalizika alasiri ambapo Real Madrid imeshinda kwa kuifunga Man City kwa jumla goli 4-1, magoli ya Madrid yalifungwa na Karim Benzema dakika ya 21, Cristiano Ronaldo dakika ya 25, Pepe na Denis Cheryshev dakika ya 73 huku bao pekee la Man City likifungwa na Yaya Toure dakika ya 45.
3000
Nimekusogezea video na picha za mchezo huo
3000
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Shabiki aliingia uwanjani ili amshike mkono Bale akawa anazuiwa
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library

No comments:

Post a Comment