Sunday, February 14, 2016

ARSENAL YAIVUTA SHATI LEICESTER CITY



Mshambuliaji wa Arsenal, Danny Welbeck aliyekuwa majeruhi kwa muda mrefu akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya mwisho katika ikishinda 2-1 dhidi yawapinzani wao katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya England, Leicester City mchana wa jana Uwanja wa Emirates. Leicester ndiyo waliotangulia kupata bao kupitia kwa Jamie Vardy kwa penalti dakika ya 45, kabla ya Theo Walcott kuisawazishia Arsenal dakika ya 70. Leicester ilimpoteza beki wake Danny Simpson aliyetolewa kwa nje kwa kadi nyekundu dakika ya 54.
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa Tangakumekuchabliog

No comments:

Post a Comment