Thursday, May 26, 2016

MISA - TANZANIA YAWAWEZESHA WAANDISHI WA TANGA KUFANYA KAZI KWA UMAHIRI



Waandishi wa habari wa Tanga wakishiriki mafunzo ya matumizi ya Interner kwa waandishi yaliyoandaliwa na Taasisi ya vyombo vya habari kusini mwa Bara la Afrika Tawi la Tanzania (Misa-Tanzania) kwa ushirikiano wa Mfuko wa vyombo vya habari, Mawasiliano na Maendeleo wa Finland na kufanyika ukumbi wa Tanga Press Club (TPC)
Mafunzo hayo ambayo yamenda kwa siku nne yanawawezesha waandishi hao kufanya kazi zao kwa weledi na ufanisi wa hali ya juu.





No comments:

Post a Comment