Tuesday, May 31, 2016

PICHA 10 KIJIJI CHA MABATINI KILICHOKUBWA NA MAAFA YA MAUAJI YA WATU 8

 Wakazi wa kijiji cha mabatini kata ya Mzizima Amboni Tanga wakiwa wamekusanyika katika mti wakiomboleza vifo vya watu 8 waliuwawa na watu wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi juzi usiku kwa kuwakusanya nje ya uwanja wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga , Martin Shiggellah pamoja na Kamanda wa Polisi Tanga, Leonard Poul walifika katika eneo la tukio na kuwahakikishia wananchi wa kijiji hicho kuwakamata wote waliohusika na mauaji hayo.
Kamanda Poul alisema atawakamata watu hao na kuwapeleka katika vyombo vya sheria na kuwataka wafiwa na wananchi kuwa na subiri kipindi hiki kigumu.









No comments:

Post a Comment