Monday, April 3, 2017

KILIMO CHA UMWAGILIAJI AMBONI TANGA



Mkulima wa mbogamboga shamba la Mkurumuzi Amboni Tanga, Robarts Jonathan, akimwagilia maji katika shamba lake la mbogamboga na nafaka.
Kufuatia uhaba wa mvua wakulima wengi wanalazimika kuchiota maji ya mito kumwagilia mbogamboga zao.







No comments:

Post a Comment