Nyambizi ya jeshi la Marekani
imewasili katika pwani ya Korea Kusini huku wasiwasi ukiongezeka kuhusu
uwezekano wa Korea Kaskazini kufanya jaribio jingine la kombora au
silaha za nyuklia.Korea Kaskazini inaadhimisha miaka 85 tangu kuanzishwa kwa jeshi lake Jumanne.
BBC
No comments:
Post a Comment