Saturday, April 1, 2017

WATU 250 WAPOROMOKEWA NA GOROFA , WAHOFIWA KUFA, COLOMBIA

Watu 250 waangamia kwenye maporomoko ya ardhi ColombiaWatu 250 waangamia kwenye maporomoko ya ardhi ColombiaWatu 250 waangamia kwenye maporomoko ya ardhi ColombiaMamlaka ya jeshi la Colombia inasema idadi ya waliofariki katika maporomoko ya ardhi nchini humo imefikia watu 250 huku waliojeruhiwa wakiwa 400.
Hata hivyo idadi hiyo huenda ikaongezeka kwani bado kuna zaidi ya watu 200 ambao hawajapatikana .
Vikosi vya wafanyikazi wanaoendesha shughuli za uokoaji wanasema nyingi ya barabara za kulipotekea maporomoko hayo huko eneo la mji wa kusini mwa taifa hilo, Mocoa hazipitiki kutokana na mkasa huo.
BBC

No comments:

Post a Comment