Saturday, April 1, 2017

SOKONI MLANGO WA CHUMA MASIWANI TANGA

 Wafanyabiashara wa mbogamboga na matunda soko la Mlango wa Chuma Masiwani Tanga wakipanga bidhaa zao kusubiri wateja, Msimu huu wa matunda na mbogamboga wafanyabiashara wamedai kukosa soko baada ya watu wengi kulalamika ugumu wa maisha hivyo biashara kuwawia ngumu.
Tangakumekucha ilifika sokoni hapo na kujionea matunda nanmbogamboga zikiwa zimezagaa baada ya kukosa sokona na kuwa na hofu ya kuwaozea mikononi.






No comments:

Post a Comment