Wednesday, December 31, 2014

MAKOBAZI BEI POA

 Wakazi wa mji wa Chake Chake Wilaya Kusini Pemba wakinunua viatu aina ya Makobazi kwa muuzaji Fakihi Mansour eneo la njia ya kwenda kituo cha magari yaendayo Wilayani na katikati ya mji. Kobazi pea mmoja ilikuwa ikiuzwa kati ya shilingi  20,000, hadi 28,000.




No comments:

Post a Comment