Tuesday, December 9, 2014

BENDI YA SKYLIGHT YADAIWA KUHUSIKA

.


Iko hapa tayari U Heard ya leo Desemba 9, Bendi ya Skylight imehusika.

df94f14352LKwenye XXL ya leo Gossip Cop ametoboa kuhusu Meneja wa Skylight Band  kutishiwa kupigwa Bastola.
Baada ya Soudy kumtafuta Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba amesema ni kweli walitishiwa bastola na Promota ambaye aliwatapeli hela baada ya kufanya naye makubaliano ya kufanya naye show kwa makubaliano kulipwa hela siku moja kabla ya show kama mkataba unavyosema lakini promota huyo hakutimiza.
Siku ya show walikubaliana kwamba Skylight wapate mtu mmoja ambaye atakuwa akipokea kiingilio lakini baadaye waliamua kumfuata promota huyo ili awaongezee pesa za malipo ya show hiyo lakini aligoma kuwapatia malipo hayo na kumtishia kumpiga risasi Meneja huyo wa Skylight huku akimtukana.

No comments:

Post a Comment