Saturday, December 6, 2014

Kiroho safi


Kushoto ni naibu rais wa Kenya, William Ruto, akiwa na rais wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta ambaye kesi yake imefutwa kwenye mahakama ya ICC
Kushoto ni naibu rais wa Kenya, William Ruto, akiwa na rais wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta ambaye kesi yake imefutwa kwenye mahakama ya ICC
Na Martha Saranga Amini
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema alitarajia kuona ICC ikishindwa kesi dhidi yake kufuatia kuwepo kwa mapungufu ya wazi na hivyo hashangazwi na kilichotokea.
Uamuzi huu umekuja saa chache tu baada ya uamuzi wa majaji waliokuwa wanasikiliza kesi ya rais Kenyatta, juma hili kumpa muda wa wiki moja mwendesha mashtaka mkuu, Fatou Bensouda kuamua hatma ya kesi dhidi ya rais Kenyatta.(P.T).
Usipitwe na habari kemekm za paopo hapo fungua Kumekucha blog kila wakati

No comments:

Post a Comment