Kenya ya vioja… Pale ambapo wanawake wanaojiuza wanahitaji kutambuliwa na Serikali(Video & story)

Wanawake hao waliandamana ofisi ya Jaji Mkuu Willy Mutunga wakitaka Serikali kuwapa nafasi ya kuwatambua rasmi na wawe walipa kodi halali kama ilivyo kwa wafanyabishara wengine.
No comments:
Post a Comment