Wednesday, August 31, 2016

JOHN KERRY AKUMBANA NA FOLENI NEW DELH

John Kerry akwama kwenye foleni Delhi, India

Indian Prime Minister Manmohan Singh's official motorcade arrives to attend the Beating the Retreat ceremony in New Delhi on January 29, 2011.Travellers face traffic congestion on NH-24 as Kanwadias (Dak Kawad) carry holy water for Lord Shiva collected form the River Ganga, on August 1, 2016 in New Delhi, India. (PWaziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry alipofika Delhi kwa mashauriano na maafisa wa serikali Jumatatu jioni, hakuwa na bahati.
Mvua kubwa ilinyesha na 'kukosa kutambua cheo chake'.
Badala ya magari yake kupitia barabara zilizo wazi, msafara wake wa magari ulikwama kwenye foleni zaidi ya saa moja.
Lilikuwa jambo lisilo la kawaida kwa sababu maafisa wa usalama huondoa magari barabarani kutengeneza njia ya kutumiwa na wageni mashuhuri.

No comments:

Post a Comment