Tuesday, August 23, 2016

SELFIE ZA HATARI

Msichana anayeongoza kupiga selfie kwenye maeneo hatarishi zaidi duniani


Kwa muda sasa watu wamekua wakipendelea kupiga picha kwa mtindo wa ‘selfie’ na imekuwa ni kitu cha kawaida lakini kilichoishangaza dunia ni aina ya selfie ama picha anazopiga mrembo huyu kutoka Russia, Angela Nikolau ambaye amejipatia umaarufu kupitia picha hizo.
Angela Nikolau ameonekana akipozi katika madaraja marefu, mapaa ya nyumba, majengo marefu sana huko Moscow, Hong kong na China. Picha zake zimekua na utofauti mkubwa kwani amekuwa akizipiga katika maeneo ambayo watu wengi hawawezi kuthubutu.
ang
ggg
jdbgf
angela
kama
kamau
kamauuu
kimau
kmau
kmauuuu

No comments:

Post a Comment