Can Dundar ajiuzulu uhariri mkuu ,Uturuki
Mmoja wa waandishi
nguli nchini Uturuki , Can Dundar, ametangaza uamuzi wake wa kujiuzulu
nafasi yake ya mhariri mkuu katika gazeti kuu la upinzani, Cumhuriyet.Baada ya taarifa hiyo wawili hao walikumbwa na hatia ya kufichua taarifa za siri za serikali.Bwana Dundar yeye aliachiliwa huru kwenda nyumbani huku akisubiri rufaa na inaaminika ameondoka nchini Uturuki.
Akifafanua hatua yake hiyo ya kujiuzulu, Dundar amesema kwamba hana imani tena na mfumo wa ki mahakama baada ya mfumo huo kushindwa katika jaribio la mapinduzi la mwezi uliopita .
No comments:
Post a Comment