Mapacha waliozaliwa wameungana wanajiandaa kuanza shule


Mapacha waliozaliwa wakiwa wameungana na kupewa uwezekano wa kuishi kwa 20% wanajiandaa kuanza shule.Mama yao , Angela Formosa, amesema watoto hao ambao kwa sasa wana umri wa miaka minne , kutoka eneo la la Bexleyheath Kusini mashariki mwa mji wa London ,"wanafuraha sana " ya kuanza shule.
"Miaka mmine iliyopita akilini mwangu sikufikiria kitu kama hiki kingelitokea ," alisema.
"Nilipokuwa mjamzito sikudhani nitaiona siku ya ya kwanza shuleni kwa hivyo inanifurahisha sana kwa hiyo nashukuru sana hospitari ya I Gosh [Great Ormond Street Hospital] kwa kweli."
No comments:
Post a Comment