
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger
amefanya mkutano muhimu na mmliki wa klabu hiyo Stan Kroenke Jumatatu
ambapo mustakabali wa mfaransa huyo ulitarajiwa kujadiliwa.Bado haijajulikana kama Wenger ataongeza mkataba baada ya kudumu katika klabu hiyo kwa miaka 21.
Masharti ya mkataba mpya yalikubaliwa miezi kadhaa iliyopita, lakini hakuna kilichofanyiwa kazi mpaka hivi sasa.
No comments:
Post a Comment