James Milner alikosa kufunga penalti kipindi cha pili na kuumbisha
matumaini ya Liverpool kusalia katika kundi la timu nne za kwanza katika
ligi ya Primia kufuatia sare na Southampton.Kilikuwa kisa kilichowashangaza mashabiki ndaniaya Anfield.
"Bado kuna matumaini, tunachohitaji ni kucheza mechi zetu vyema." Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp alisema.
Fursa bora zaidi ya Liverpool ya kufunga bao ilikuwa dakika ya 66 wakati wakipata penalti baada ya Jack Stephens kumchezea vibaya Lucas.
No comments:
Post a Comment